1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nakshi za kudarizi zainua pato la wanawake Kongo

5 Julai 2023

Huko Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kutengeneza na kushona darizi za nakshi husaidia wanawake walio katika mazingira magumu kupata kipato na kusaidia familia zao. Washonaji wote ni waathirika wa kutetereka kwa hali ya usalama katika taifa hilo la Afrika ya kati.

https://p.dw.com/p/4TS8G