You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Masuala ya Jamii
Ruka sehemu inayofuata Habari Kuu
Habari Kuu
Burundi yaomba msaada wa haraka kufuatia mafuriko
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
18.04.2024
18 Aprili 2024
El Nino, sio mabadiliko ya tabianchi, chanzo cha ukame
18.04.2024
18 Aprili 2024
Burundi yaomba msaada kukabiliana na athari za mvua
18.04.2024
18 Aprili 2024
Mabadiliko ya tabianchi yasababisha joto kali Sahel
17.04.2024
17 Aprili 2024
Dubai, Kazakhstan na Urusi zashuhudia mafuriko makubwa
17.04.2024
17 Aprili 2024
Zambia yahitaji msaada kukabiliana na ukame
17.04.2024
17 Aprili 2024
Waandishi habari Ugiriki wafanya mgomo wa saa 24
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Wafadhili waahidi dola milioni 630 kuwasaidia Waethiopia
Wafadhili waahidi dola milioni 630 kuwasaidia Waethiopia
Kiasi hicho hata hivyo hakijafikia dola bilioni moja zinazotafutwa kuwalisha mamilioni ya watu wanaokabiliwa na mizozo.
Umaarufu wa mitindo ya rasta za Wamasaai
Umaarufu wa mitindo ya rasta za Wamasaai
Mitindo ya Rasta kama vile dreadlocks na twists ni maarufu sana miongoni mwa wanawake katika maeneo mengi ya Afrika Mashariki. Hata hivyo, kusuka kwa ustadi na wanaume wa Kimasaai kumekuwa na mvuto wa pekee kwa baadhi ya wanawake hao. Hii imepelekea baadhi yao kuacha saluni za kawaida mtaani kwao na badala yake kwenda kwa wanaume wa Kimasaai kutafuta huduma hizo.
Mwanaharakati wa haki za watoto wa mitaani Tanzania
Mwanaharakati wa haki za watoto wa mitaani Tanzania
Kundi la watoto wa mtaani ni kundi ambalo linaendelea kuongezeka kwa kasi huku watoto hawa wakiwa hawana elimu madhubuti kutokana na ukatili wanaokutana nao, lakini juhudi za wanaharakati wa masuala ya kijamii ni zipi katika kuhakikisha kuwa wanalisaidia kundi hili. Jackline Joseph ni mwanaharakati ambaye amejitolea katika kulisaidia watoto katika kuwapatia elimu dhidi ya ukatili.
Mwanamitindo wa Uganda anayetamba TikTok
Mwanamitindo wa Uganda anayetamba TikTok
Angella Summer Namubiru ni mwanamitindo kutoka Uganda, anaishi maisha ya kijijini na kujizolea umaarufu TikTok. Amekabiliwa na ubaguzi kutokana na rangi nyeusi ya Ngozi yake. Lakini sasa ameamua kutumia mitandao kuelemisha umma. #vijanamubashara
Mwaka 2024 unakaribia kuwa wenye joto zaidi kuwahi kutokea
Mwaka 2024 unakaribia kuwa wenye joto zaidi kuwahi kutokea
UNICEF: Watoto wako katika hatari zaidi kuliko watu wazima kwani hawana uwezo wa kudhibiti joto la miili yao.
Fahamu zaidi kuhusu safari za kidijitali
Fahamu zaidi kuhusu safari za kidijitali
Kuna msisimko mkubwa miongoni mwa vijana kuhusu fursa za kazi mtandaoni, zinazojumuisha safarufu za kidijitali, zikiahidi tija ya haraka na malipo makubwa, lakini nyuma ya pazia hili la kuvutia, kuna changamoto kubwa zinazowosubiri. Fathiya Omar anasema kazi za mtandaoni zina faida kubwa lakini pia zina athari zake. Zaidi sikiliza Makala hii ya vijana tugutuke.
Onesha zaidi
Ruka sehemu inayofuata Unaweza pia kuvutiwa na
Unaweza pia kuvutiwa na
Ulaji wa chakula usiofaa chanzo cha matatizo ya afya
Ulaji wa chakula usiofaa chanzo cha matatizo ya afya
Profesa Janabi wa Muhimbili Tanzania anasema watu hawajakatazwa kula ispokuwa wale kwa mpangilio ili kutunza afya.
Kumbukumbu ya miaka 124 ya kunyongwa kwa Mangi Meli
Kumbukumbu ya miaka 124 ya kunyongwa kwa Mangi Meli
Jamii ya kabila la Wachaga imefanya kumbukumbu ya maadhimisho ya kunyongwa kwa kiongozi wa kimila mnamo mwaka 1900.
Je umeshawahi kuwa kwenye mahusiano na mtu aliyekuzidi umri?
Je umeshawahi kuwa kwenye mahusiano na mtu aliyekuzidi umri?
Kuna mitazamo tofauti juu ya vijana wanaojihusisha na uhusiano wa kimapenzi na watu waliowazidi umri. Lakini vipi mahusiano hayo yanapogeuka kuwa ya kusaka maslahi? Suleiman Mwiru anakueleza zaidi katika Makala hii.
Ruka sehemu inayofuata Mtazamo wa kina
Mtazamo wa kina
Msichana Jasiri
Kila msichana ana nafasi sawa kuwa jasiri - Msichana Jasiri!
Chipukizi wa muziki wa kizazi kipya
Chipukizi wa muziki wa kizazi kipya
Precious ni mwanamuziki chipukizi wa kizazi kipya kutoka Tanzania ambaye Uwezo wake wa kutumbuiza katika majukwaa umempa sababu ya kuwa mfano kwa watoto wengine. Anasema baba yake ndiye aliyempa msukumo mkubwa wa kunoa kipaji chake. #msichanajasiri.
Leila Abdul Kheir na vita dhidi ya utoaji mimba holela
Leila Abdul Kheir na vita dhidi ya utoaji mimba holela
Jamii huepuka kuyajadili maswala ya wanawake hasa yanayohusiana na ujauzito na utoaji mimba kwani huchukuliwa kuwa aibu.
Msichana Jasiri yamuangazia Naishooki Gideon, mhamasishaji
Msichana Jasiri yamuangazia Naishooki Gideon, mhamasishaji
Ongezeko la ukatili wa kijinsia ulimsukuma kuwa mhamasishaji na muelimishaji wa vijana katika jamii. Mtangazaji wetu chipukizi Mitchelle Ceaser anaangazia juhudi zake Naishooki Gideon kwenye vidio yetu ya Msichana Jasiri
Gundua zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Makambi ya wakimbizi Chad yakabiliwa na mzozo wa kiutu
Umoja wa Mataifa umesema bila ufadhili wa ziada, zaidi ya watu milioni moja nchini Chad, wamo hatarini kukosa msaada.
Kwanini wasio Waislamu hufunga mwezi wa Ramadhan?
Sio jambo geni kwa watu ambao si Waislamu katika baadhi ya nchi kujikuta wakifunga wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Washawishi wa mitandaoni wabadili mwelekeo wa Ramadhani?
Kumekuwepo hofu pia katika Mashariki ya Kati kwamba Ramadhani inaelekea pia kuwa ya kibiashara kupita kiasi.
Ruka sehemu inayofuata Masuala maalumu na matukio
Masuala maalumu na matukio
DW Kiswahili inapatikana kupitia mtandao wa Instagram
Jielimishe zaidi
Ruka sehemu inayofuata Safari, maisha na zaidi
Safari, maisha na zaidi
Ipi sababu ya vijana kujiingiza katika magenge ya kihalifu?
Kuongezeka kwa magenge ya kihalifu ya vijana katika baadhi ya nchi barani afrika kumezidi kuibua wasiwasi. Makundi hayo ya kihalifu mara nyingi hufanya uporaji na kuwaumiza wananchi. Wengi wanasema hali ngumu ya kiuchumi ndio inachangia vijana kujitumbukiza katika magenge hayo. Sylvia Mwehozi ana mengi katika vijana Mubashara, 77asilimia
Unajuwa unaweza kununua bidhaa zako bila ya kwenda madukani?
Kupitia simu yako ya mkononi, au kompyuta, unaweza kununua bidhaa zako kwa urahisi na kuzipata kwa muda mfupi tu. Hizi zinaitwa biashara za mtandaoni. Ni aina ya biashara ambapo mteja na muuzaji hawaonani ana kwa ana bali kupitia mtandao. Tatu Karema anakufahamisha zaidi katika makala ya Vijana Mchakamchaka
Utafutaji Abaya na uchoraji heena ni miongoni mwa maandalizi ya Eid-Ul Fitr
Wikendi ya mwisho ya mwezi wa Ramadhani waislamu wako kwenye ibada za mwishoni lakini pia kwenye maandalizi ya sherehe za Eid Ul Fitri. Heka heka za kutafuta Abaya za Eid zimepamba moto. Jiunge na Saumu Mwasimba amekuandalia uhondo kuhusu uchoraji heena huko Zanzibar na shamrashamra zilizotawala huko Burundi kuelekea Eid,katika makala ya Karibuni
Matangazo