1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jinsi ya kushughulikia wasiwasi.

29 Desemba 2023

Wasiwasi mwingi humuathiri mtu mmoja kati ya 10 nchini Kenya. Tatizo la wasiwasi huweza kuwa na athari mbaya kwa waathiriwa. Katika Makala ya Afya Yangu kwa Uhakika, daktari Caroline Vundi anakutana na kijana ambaye amepambana na wasiwasi na anaeleza njia zinazoweza kusaidia kudhibiti tatizo hilo.

https://p.dw.com/p/4Zrr7