You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Picha: PantherMedia/picture alliance
Kurunzi Afya
DW Kisuaheli inakuletea vidio maalumu kuhusu masuala ya afya.
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Mpango wa kukopa na kulipia deni la matibabu Nigeria
Mpango wa kukopa na kulipia deni la matibabu Nigeria
Kutana na kikundi cha kijamii kutoka katika jimbo la Kano kaskazini mwa Nigeria, ambacho kinasaidia kaya masikini kulipa madeni ya matibabu hasa kwenye maduka ya dawa, lakini hata hivyo mpango hausadii tu watu masikini pia unaziwezesha biashara za dawa kustawi.
Ulaji wa chakula usiofaa chanzo cha matatizo ya afya
Ulaji wa chakula usiofaa chanzo cha matatizo ya afya
Profesa Janabi wa Muhimbili Tanzania anasema watu hawajakatazwa kula ispokuwa wale kwa mpangilio ili kutunza afya.
Teknolojia ya kuodoa uvimbe mwilini bila upasuaji
Teknolojia ya kuodoa uvimbe mwilini bila upasuaji
Utaalamu huu unaweza kutolewa kwa watu waliona uvimbe katika sehemu mbalimbali za mwili
Hamasa ya wahudumu katika vyumba vya kuhifadhi maiti
Hamasa ya wahudumu katika vyumba vya kuhifadhi maiti
Wengi wamekuwa na mawazo tofauti juu ya watu wanaotoa huduma katika vyumba vya kujifadhi maiti katika hospitali na utakubali kwamba kumekuwa na hadithi nyingi kuwahusu na wakati mwingine hata zikitia hofu, lakini hebu tazama video usikie hadithi zao wenyewe wakisimulia juu ya hamasa inayowafanya kuipenda kazi yao adhim.
Tiba ya jino ya Root Canal
Tiba ya jino ya Root Canal
Ni lini mara ya mwisho uliumwa jino? Yale maumivu kiasi cha kuona giza wakati ni mchana😆😆😆 Je huwa una utaratibu wa kwenda kwa daktari wa meno kabla hujakumbwa na zahma kama hii? Na je, ulitibiwaje? Hebu msikie kijana huyu ambaye siku moja alikwenda bila ya kusukumwa hospitalini baada ya kuumwa jino na usikie alitibiwaje? Itakusaidia. #kurunziafya
Tatizo lenye kusumbua mfumo wa uzazi
Tatizo lenye kusumbua mfumo wa uzazi
Si kila shida ya mfumo wa uzazi, inaweza kuwa ugumba. Itazame vyema vidio hii ya Fathiya Omar labda, wewe, ndugu zako na wale wanaokuzunguka wanaweza kupata ufumbuzi katika kutafuta mtoto.
Onesha zaidi
Matangazo