1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Unaitumiaje mitandao ya kijamii?

12 Desemba 2023

Kabla ya kuchapisha ama kusambaza jambo lolote kwenye mitandao ya kijamii je huwa unafikiria litakuwa na athari gani kwa mtu mmoja ama jamii kwa ujumla? Je unaijua athari ya kuchapisha taarifa zisizo na uhakika? Tizama video hii kwa mengi zaidi.

https://p.dw.com/p/4a518