You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Tatu Yahaya
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Tatu Yahaya
Taarifa na Tatu Yahaya
Msomi wa uchumi na mbunifu wa mapambo ya ndani ya kitamaduni
Msomi wa uchumi na mbunifu wa mapambo ya ndani ya kitamaduni
Kutoka kuwa mwanauchumi mpaka kutumia stadi za mikono katika kujiajiri hii haikuwa rahisi kwake, lakini ule msemo waelimu ni ufunguo wa maisha kwake anautendea haki anaitumia elimu yake ili kuhakikisha kuwa anapata bidhaa zenye ubora na hata kuzitangaza kwa kutumia majukwaa mbalimbali huku akiwa na matarajio ya kufika katika soko la kimataifa.
Msichana anayepigania kutokomeza ndoa za utotoni
Msichana anayepigania kutokomeza ndoa za utotoni
Mamilioni ya wasichana kila mwaka huathirika na ndoa za utotoni ambazo zinawakosesha haki ya msingi ya elimu, matatizo ya afya ya uzazi pamoja na kukosa malezi ya wazazi wao. Hayo ni maneno ya Jenniffer Fred, mwanaharakati aliyeamua kulivalia njuga na kusambaza elimu ili kutokomeza ndoa za utotoni. Na huyu leo ndio #msichana wetu #jasiri. #msichanajasiri #hakizawatoto #hakiyaelimu
Wanawake wenye ulemavu wajiunga na mchezo wa mpira wa mikono
Wanawake wenye ulemavu wajiunga na mchezo wa mpira wa mikono
Kutana na wanawake hawa wenye ulemavu waliamua kujiingiza kwenye mchezo wa mpira wa mikono na namna wanavyosakata mchezo huo.
Mwanaharakati wa haki za watoto wa mitaani Tanzania
Mwanaharakati wa haki za watoto wa mitaani Tanzania
Kundi la watoto wa mtaani ni kundi ambalo linaendelea kuongezeka kwa kasi huku watoto hawa wakiwa hawana elimu madhubuti kutokana na ukatili wanaokutana nao, lakini juhudi za wanaharakati wa masuala ya kijamii ni zipi katika kuhakikisha kuwa wanalisaidia kundi hili. Jackline Joseph ni mwanaharakati ambaye amejitolea katika kulisaidia watoto katika kuwapatia elimu dhidi ya ukatili.
Chipukizi wa muziki wa kizazi kipya
Chipukizi wa muziki wa kizazi kipya
Precious ni mwanamuziki chipukizi wa kizazi kipya kutoka Tanzania ambaye Uwezo wake wa kutumbuiza katika majukwaa umempa sababu ya kuwa mfano kwa watoto wengine. Anasema baba yake ndiye aliyempa msukumo mkubwa wa kunoa kipaji chake. #msichanajasiri.
Jasiri mwenye ndoto za kuwa mwanamasumbwi bora duniani
Jasiri mwenye ndoto za kuwa mwanamasumbwi bora duniani
Kuingia kwake katika mchezo wa ngumi kuliambatana na changamoto nyingi lakini bado anaonesha ari kubwa katika kuziishi ndoto zake. Anatamani kuwa bondia mkubwa ulimwengu lakini ushirikiano anaoupata kutoka kwa watu wake umekua hafifu. Vipi anaweza kuzimudu changamoto hizi ili kufikia malengo yake?
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo