1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiNigeria

Mwanadada aliyepika kwa zaidi ya saa 100 bila kupumzika

Sylvia Mwehozi
17 Mei 2023

Kurunzi Wanawake leo inamulika rekodi iliyowekwa na mwanadada na mpishi wa Nigeria Hilda Baci aliyepika vyakula kwa zaidi ya saa 100 na kuipita rekodi ya 2019. Hakuwa anashindana na mtu bali dhamira yake ilikuwa ni kuvunja rekodi ya dunia #kurunziwanawake.

https://p.dw.com/p/4RVMq