1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SafariKenya

Fukwe za Ziwa Victoria Siaya-Kenya zakumbwa na mafuriko

17 Aprili 2023

Takriban familia 180 zinazoishi kwenye fuo za Ziwa Victoria jimbo la Siaya eneo la Nyanza huko Kenya zimeachwa bila makao baada ya mvua nyingi inayonyesha maeneo mbali mbali nchini humo kusababisha mafuriko. Fuatilia Zaidi katika video ya Musa Naviye. #kurunzi

https://p.dw.com/p/4QBhj