1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Daktari mstaafu wa Ujerumani anayesaidia wakimbizi Uganda

5 Aprili 2024

Hospitali ya Panyadoli nchini Uganda ambayo inawahudumia mamia ya wakimbizi inakabiliwa na uhaba wa vifaa vya matibabu lakini juhudi za wahisani akiwemo Daktari mstaafu kutoka Ujerumani, zinaonekana kuleta matumaini ingawa bado idadi ya wakimbizi inaongezeka kila kukicha. Tizama vidio nzima.

https://p.dw.com/p/4eSdz