1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Mtindo wa maisha

Nini kinafanya vijana kuvalia mavazi ya kupitiliza msibani?

30 Machi 2023

Hapo kale taarifa ya msiba ilipokuwa ikiwafikia wengi, kubwa lililokuwa likiwajia vichwani ni kuhakikisha wanafika ulipo msiba na kutoa msaada wa kufariji wafiwa. Lakini sasa hali ni tofauti vijana wana namna yao ya kufika msibani, wakiwa wamevalia kweli kweli. Suali ni je nani yupo nyuma ya mtindo huu wa maisha kwa vijana wa sasa. Vijana Mchakamchaka inaangazia hilo. mtayarishaji ni Hawa Bihoga

https://p.dw.com/p/4PUlK